Nadia Ali Kutoka Pakistan Ni Mwaname anae cheza video za uch**** Aliyeamua Ku "Twerk" Hadharani video iko hapa



Nadia Ali ambaye ni mcheza picha za X kutoka Pakistan akiwa Pia ni mwanamke muislamu alidilikiku "Twerk" hadharani baada ya kualikwa kwenye kipindi Cha "Thisis50" kinachoongozwa Na Young Jack Thriller Nchini marekani. 

Mwanadada alizungumzia jinsi alivyopigwa marufuku Na nchi Na maisha yake kiujumla ya Kua Kama mcheza picha za X akiweka dini yake ya kiislamu pembeni.
CHEKI HAPA


Harmonize Na Jacqueline Wolper Kuna Namna,Diamond Ametoa Baraka Zake Kwa Wawili Hao.

Ni kweli Harmonize amemrithi Diamond kwa Jacqueline Wolper?
Wanasema sharing is caring. Ndiyo maana Harmonize haoni hatari kuweka kambi kwenye koloni la zamani la bosi wake, Diamond.

Mpaka sasa Inaonekana kuwa si tetesi tena kwasababu CEO wa WCB mwenyewe ametoa baraka zake kwa wawili hao ame BLESS  , Harmonize na Jacqueline Wolper ambao yeye anawaita ‘love birds.’ Diamond na Wolper waliwahi kuwa na uhusiano miaka kadhaa iliyopita.

Diamond  amepost video inayomuonesha Harmonize akiwa kwenye gari na mpenzi wake huyo mpya huku akimuimbia hit ya bosi wake, Number One.



“A throw Back of two love Birdsbirdrevolving_hearts…. Mjini kutamu jamani… hebu nitagie Wakereketwa hapa, waje kuzirai….?” ameandika Diamond kwenye video hiyo.

Naye dada yake, Esma hakusita kulipigia chapuo penzi hilo jipya kwa kuiweka video hiyo na kuandika: Karibu ktk familia yetu @wolperstylish mawifi tunagubu but utuzoee ila nawee usije kuwa na roho mbaya mjengoni mchaga wewe harmo wetu tumetoka nae mbaliii tangu tunalala stendi winkmaskmaskmask utuzalie twaribu maana kwetu ni T T tuuu mawifi wazamani am soleeee kaka kashapenda tunafanyaje msiniblokuuu tuu tupendane japo kinafki bana.”

Hata hivyo si wote wanaoshare furaha hiyo huku wengi wakidai kuwa Harmonize anahitaji kuwa na msichana wa size yake

Official Trailer YA PRISON BREAK MWENDELEZO IMETOKA ITAZAME HAPA.


Kama ulikosa kutazama msimu wa kwanza ulipita wa Prison Break  itabidi ujipange kufanya hivyo msimu wapili unakuja uende nao sawa.
Prison Break inarudi ikiwa na waigizaji wote kuanzia msimu wa kwanza akiwemo Michael Scofield aliyekuwa anadhaniwa amekufa.

Itazame Trailer yake hapo chini


MWANZA | WATU 3 WAMEUAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA MASHOKA NA WENGINE KUJERUHIWA NDANI YA NYUMBA YA IBADA (MSIKITI)

Taarifa iliyonifikia kutokea Mwanza ni hii ya kusikitisha ya watu watatu kuuawa kwa kuchinjwa wakiwa katika nyumba ya ibada usiku May 18, 2016,  Msikiti wa RAHMAN eneo la Ibanda relini mtaa wa Utemini Mkolani Mwanza.

Ripoti kutoka kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mwanza Ahmad Msangi amesema……Watu wasiozidi 15 wakiwa wamevalia mavazi ya kuficha uso, wakiwa na Mapanga, Shoka na Bendera nyeusi yenye maandishi meupe waliingia msikitini wakati waumini wakiwa wanaswali wakazima taa wakisema Kwanini mnaswali wakati wenzenu wanashikiliwa na Polisi?’
Msikiti wa RAHMAN ambapo tukio limetokea

‘Waliouawa 
1.Feruz Ismail Elias (27) Imamu wa Msikiti, 2.Mbwana Rajabu (40), 3.Khamis Mponda (28) pamoja na Ismail Abeid (13) aliyejeruhiwa mwanafunzi wa shule ya Jabar Hila Nyasaka, anapata matibabu kwenye Hospital ya Nyamagana ;- Kamanda Ahmad Msangi

Waumini wengine walifanikiwa kukimbia huku wahalifu wakikimbia na kurusha chupa mbili za Konyagi ndani ya Msikiti zikiwa na Petroli pamoja na tambi moto, chupa moja ililipuka ila haikuleta madhara makubwa’ Amesema Kamanda Ahmed Msangi

WEMA SEPETU AANDIKA UJUMBE MZITO ASUBUHI YA LEO,TEAM BIBI KWA MARA YA KWANZA WAMKUBALI



The Inluencial Actress Shared This Amazing Pic with this Sweet Message Saying That " God Grants Accordingly.....!!! " Your Right My Dear, See Fans

MSICHANA MWINGINE KATI YA WALE 276 WALIOTEKWA NA BOKO HARAM APATIKANA


Baada ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana zaidi ya 276 wa shule na kupatikana kwa mmoja May 18 2016 msichana mwingine Serah Luka  amepatikana kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.
Mkuu wa jeshi la polisi Nigeria ametibitisha taarifa hizo japo hakutoa maelezo mengine ya ziada. Taarifa zimeripotiwa siku mbili baada ya kupatikana kwa msichana mwingine wa kundi hilo la Chibok girls Amina Ali.
Amina Ali ambaye alipatikana May 18 2016 alialikwa na Rais wa Nigeria nyumbani kwake akiwa pamoja na mama na mtoto wake aliyejifungua wakati akiwa mateka wa kundi la kigaidi la Boko Haram,  anasema kati ya wanafunzi wenzake, sita walipoteza maisha walipokua mateka.

TUKO KWENYE SAA 48 ZA KUJUA MAPYA YA ALIKIBA, JINGINE NI HILI LA THE SOURCE MAGAZINE


Tunaendelea kuyafahamu mambo 7 ambayo yanaendelea kutangazwa ndani ya saa 48 kumuhusu mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ambaye alikuja South Africa juzi May 18 na jana May 19 amesaini mkataba na kampuni maarufu ya muziki duniani iitwayo Sony Music.
Mkataba aliosaini Alikiba ni kama ule aliosaini Davido wa Nigeria, ni mkataba wa dunia nzima na sio Afrika kama baadhi ya Wasanii walivyosaini akiwemo Rose Muhando, na sasa moja kati ya yale mambo saba hili ni jingine… Alikiba ataandikwa kwenye toleo lijalo la jarida la Marekani maarufu kwa kuandika habari za mastaa wa muziki The Source Magazine.
Meneja wake aitwae Seven alisemaAlikiba anakuwa msanii wa kwanza wa Tanzania kusaini mkataba na Sony World wide, ni mkataba wa miaka mitano, habari yake sio ndogo na sasa atatokea ameandikwa na Jarida maarufu la habari za mastaa Marekani The Source Magazine’
‘Atakua msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki kuandikwa ndani ya hili jarida na hii itamsaidia kujulikana zaidi sababu ni jarida linaloaminika na linalosomwa na mamilioni ambapo kichwa cha habari kitasomeka kuanzia ukurasa wa mbele wa jarida hili’ – Seven
Sony 2

KUTOKA JO’BURG SOUTH AFRICA: KUANZIA LEO ALIKIBA YUKO MIKONONI MWA SONY MUSIC (PICHA 16)


Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba kuanzia leo atakua mikononi mwa Sony Music kuanzia leo, kampuni kubwa ya muziki inayofanya kazi na mastaa wa dunia kama Beyonce, John Legend na Chris Brown.
Moja ya kazi za mkataba huo ni kumtengeneza Alikiba kweye kiwango cha juu zaidi kimuziki, kibiashara na kugharamia video zake na anaporekodi audio zake, kila anapotoa muziki mpya unaachiwa kwa nguvu ya usimamizi wa Sony Music kwenye masoko makubwa ya muziki kama Marekani, Ulaya na Africa.
Sio kila msanii wa Afrika ameweza kusaini na Sony Music ambapo nimeambiwa kwenye shughuli hii ya leo kwamba mkataba aliosaini Alikiba unafanana kabisa na ule aliosaini mwimbaji staa wa Nigeria Davido ambapo unavipengele vya kusababisha kolabo kwa urahisi zaidi na mastaa wakubwa wakiwemo wa Marekani.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
3X6A0317
.
.
.
.
.
.
Managing Director wa Sony Music Africa Sean Watson na Alikiba
.