...

Pictures of Beautiful Irine Lynn of Video, Looking Lovely.
The Beauty Queen of Video has shared these Amazing Photos proving how beautiful
she is...Yeah lets Forget the Secret Affair thing with D****** since we couldn't find any truth.... She is In De...
JOSE MOURINHO HAS FINALLY SIGNED A CONTRACT WITH MANCHESTER UNITEDAHEAD OF BEING UNVEILED AS THE CLUB’S NEW MANAGER.
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
REAL MADRID YATWAA USHINDI CHINI YA GWIJI – Zinedine Zidane
Takwimu
za kila aina zilizungumziwa baada ya Atletico Madrid kuchapwa mabao 5-3
na Real Madrid katika uwanja wa San Siro, jijini Milan, Italia, jana
Jumamosi. Takwimu ya kwanza ilimzungumzia mshambuliaji wa Kireno,
Cristiano Ronaldo ambaye sasa ameshainua vikombe vya klabu bingwa za
Ulaya (UEFA) mara tatu akiwa mchezaji. Mwanzo ilikuwa Manchester United
2008 na mara...
Nadia Ali Kutoka Pakistan Ni Mwaname anae cheza video za uch**** Aliyeamua Ku "Twerk" Hadharani video iko hapa
Nadia Ali ambaye ni mcheza picha za X
kutoka Pakistan akiwa Pia ni mwanamke muislamu alidilikiku "Twerk"
hadharani baada ya kualikwa kwenye kipindi Cha "Thisis50" kinachoongozwa
Na Young Jack Thriller Nchini marekani.
Mwanadada alizungumzia jinsi alivyopigwa
marufuku Na nchi Na maisha yake kiujumla ya Kua Kama mcheza picha za X
akiweka dini yake ya kiislamu...

Harmonize Na Jacqueline Wolper Kuna Namna,Diamond Ametoa Baraka Zake Kwa Wawili Hao.
Ni kweli Harmonize amemrithi Diamond kwa Jacqueline Wolper?
Wanasema sharing is caring. Ndiyo maana Harmonize haoni hatari kuweka kambi kwenye koloni la zamani la bosi wake, Diamond.
Mpaka sasa Inaonekana kuwa si tetesi
tena kwasababu CEO wa WCB mwenyewe ametoa baraka zake kwa wawili hao ame
BLESS , Harmonize na Jacqueline Wolper ambao yeye anawaita ‘love...

Official Trailer YA PRISON BREAK MWENDELEZO IMETOKA ITAZAME HAPA.
Kama ulikosa kutazama msimu wa kwanza
ulipita wa Prison Break itabidi ujipange kufanya hivyo msimu wapili
unakuja uende nao sawa.
Prison Break inarudi ikiwa na waigizaji wote kuanzia msimu wa kwanza akiwemo Michael Scofield aliyekuwa anadhaniwa amekufa.
Itazame Trailer yake hapo chini
...

MWANZA | WATU 3 WAMEUAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA MASHOKA NA WENGINE KUJERUHIWA NDANI YA NYUMBA YA IBADA (MSIKITI)
Taarifa iliyonifikia kutokea Mwanza ni
hii ya kusikitisha ya watu watatu kuuawa kwa kuchinjwa wakiwa katika
nyumba ya ibada usiku May 18, 2016, Msikiti wa RAHMAN eneo la Ibanda
relini mtaa wa Utemini Mkolani Mwanza.
Ripoti kutoka kwa Kamanda wa Jeshi la
Polisi Mwanza Ahmad Msangi amesema……Watu wasiozidi 15 wakiwa wamevalia
mavazi ya kuficha uso, wakiwa na...

WEMA SEPETU AANDIKA UJUMBE MZITO ASUBUHI YA LEO,TEAM BIBI KWA MARA YA KWANZA WAMKUBALI
The
Inluencial Actress Shared This Amazing Pic with this Sweet Message
Saying That " God Grants Accordingly.....!!! " Your Right My Dear, See
Fans...
MSICHANA MWINGINE KATI YA WALE 276 WALIOTEKWA NA BOKO HARAM APATIKANA
Baada ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana zaidi ya 276 wa shule na kupatikana kwa mmoja May 18 2016 msichana mwingine Serah Luka amepatikana kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.
Mkuu wa jeshi la polisi Nigeria ametibitisha taarifa hizo japo hakutoa maelezo mengine ya ziada. Taarifa zimeripotiwa...
TUKO KWENYE SAA 48 ZA KUJUA MAPYA YA ALIKIBA, JINGINE NI HILI LA THE SOURCE MAGAZINE
Tunaendelea kuyafahamu mambo 7 ambayo
yanaendelea kutangazwa ndani ya saa 48 kumuhusu mwimbaji staa wa
bongofleva Alikiba ambaye alikuja South Africa juzi May 18 na jana May
19 amesaini mkataba na kampuni maarufu ya muziki duniani iitwayo Sony
Music.
Mkataba aliosaini Alikiba ni kama ule aliosaini Davido
wa Nigeria, ni mkataba wa dunia nzima na sio Afrika kama baadhi...
KUTOKA JO’BURG SOUTH AFRICA: KUANZIA LEO ALIKIBA YUKO MIKONONI MWA SONY MUSIC (PICHA 16)
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba kuanzia leo atakua mikononi mwa Sony Music kuanzia leo, kampuni kubwa ya muziki inayofanya kazi na mastaa wa dunia kama Beyonce, John Legend na Chris Brown.
Moja ya kazi za mkataba huo ni kumtengeneza Alikiba kweye kiwango cha
juu zaidi kimuziki, kibiashara na kugharamia video zake na anaporekodi
audio zake, kila...
Subscribe to:
Posts (Atom)